iqna

IQNA

mazungumzo ya kidini
Wasomi wa Afrika Kusini
TEHRAN (IQNA) – Wasomi wa Afrika Kusini wamesema vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu ambavyo vimeshuhudiwa barani Ulaya hivi karibuni vinapaswa kulaaniwa.
Habari ID: 3476486    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30

Mazungumzo ya kidini
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kurudiwa kwa kesi za kuvunjia heshima matukufu ya kidini na ukimya au uhalalishaji unaofanywa na serikali za Magharibi kwa jina la uhuru wa kujieleza unaonyesha mwelekeo wa kimfumo wa kueneza chuki.
Habari ID: 3476484    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29